forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
643 B
Markdown
29 lines
643 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Hii ni hadithi nyingi inayotokea wakati wa kusafiri kwa Paulo. Hii ni tukio la kwanza katika hadithi, ni habari ya mbashiri mdogo.
|
|
|
|
# msichana mmoja
|
|
|
|
"kulikuwa na mwanamke mdogo"
|
|
|
|
# pepo la utambuzi
|
|
|
|
roho mbaya huongea naye kuhusu habari ya maisha ya watu ya baadaye.
|
|
|
|
# Alimletea bwana wake faida vyingi kwa kubashiri
|
|
|
|
hii ni habari ya nyuma kuhusu mchana huyo
|
|
|
|
# akiwa amekasirishwa na yeye
|
|
|
|
"alisumbuliwa na yeye" au " alijisikia vibaya kwa kile kitu anachokifanya"
|
|
|
|
# aligeuka
|
|
|
|
"Paulo aligeuka nyuma" au " alikwenda kumkabili yule msichana nyuma yake"
|
|
|
|
# akatoka na kumuacha mara moja
|
|
|
|
"na pepo akatoka mara moja"
|
|
|