sw_tn/act/16/01.md

933 B

Sentensi ungsnishi

Hii sehemu ya hadithi ni kuhusu safari ya Paulo na Sila. Hapa Timotheo alitambuisha kwenye hadithi na kujiunga na Paulo na Sila. Mstari wa 1 na 2 hutoa taarifa za msingi kuhusu Timotheo

Tazama

Neno "Tazama" inatutaadharisha juu ya mtu mpya katika simulizi. Lugha yako huenda ikawa na njia ya kufanya hivyo.

Kijana aliyezaliwa na mama wa Kiyahudi ambaye ni muumini

"Kijana aliyezaliwa na mama wa Kiyahudi ambaye anamwamini Kristo.

Aliongelewa vizuri

"Timotheo alikuwa na tabia nzuri" au "Walioamini walisema mambo mazuri juu ya Timotheo"

Paulo alimtaka ili asafiri naye, hivyo akamchukua

"Paulo alimtaka Timotheo asafiri naye hivyo Paulo akamchukua" maneno mengine kama (yeye, yake) yanamrejea Timotheo.

baba yake ni Mgiriki

Kama Mgiriki, baba yake Timotheo hangeweza binafsi kumtahiri Timotheo hivyo Paul alimtahiri. Tohara mara nyingi ilifanywa na Mwalimu wa Kiyahudi, kama vile Paulo.