sw_tn/act/13/48.md

330 B

kulisifu neno la Bwana.

"Kumsifu Mungu kwa ujumbe kuhusu Bwana Yesu"

Wengi waliochaguliwa kwa uzima wa milele

"Watu wote ambao Mungu alikuwa amewachagua kupokea uzima wa milele"

Neno la Bwana lilienea nchi yote

"Wale alioliamini jina la Yesu walienda kila mahali katika jimbo hilo na kuwaambia wengine habari za Yesu"