sw_tn/act/12/22.md

437 B

Sentensi unganishi

Hii ni sehemu ya mwisho ya simlizi ya Mfalme Herode.

Ghafla

"Wakati huo huo" au "Wakati watu walipokuwa wakimsifia Herode"

akampiga,

"Herode aliharibiwa" au " kikasababisha Herode kuwa mgonjwa sana"

hakumpa Mungu utukufu

Herode akawaruhusu watu wamwabudu yeye badala ya kuwaambia wamwabudu Mungu.

akaliwa na chango na akafa

"Chango" inaonyesha na wadudu ndani ya mwili, labda minyoo katika utumbo.