forked from WA-Catalog/sw_tn
617 B
617 B
Maelezo ya jumla
Luka anazungumzia kuhusu Barnaba na Sauli.
Kwenda Tarso
"Alitoka kuelekea Tarso"
kumwona Sauli...Alipompata, akamleta Antiokia
Inaonyesha Barnaba alichukua muda na bidii kumtwaa Sauli kutoka Tarso.
Ikawa
neno linaonyesha mwanzo wa tukio jingime katika simlizi hiyo.
wakakusanyika pamoja na kanisa
"Barnaba na Sauli wakakusanyika pamoja na kanisa."
Na wanafunzi wakaitwa wakristo kwa mara ya kwanza
Inamaanisha kuwa watu wengine walikuwa wakiwaita waumini kwa jina hili. "Watu wa Antiokia waliwaita wanafunzi wakristo"
Kwa mara ya kwanza
"Kwa mara ya kwanza huko Antiokia"