sw_tn/act/11/25.md

617 B

Maelezo ya jumla

Luka anazungumzia kuhusu Barnaba na Sauli.

Kwenda Tarso

"Alitoka kuelekea Tarso"

kumwona Sauli...Alipompata, akamleta Antiokia

Inaonyesha Barnaba alichukua muda na bidii kumtwaa Sauli kutoka Tarso.

Ikawa

neno linaonyesha mwanzo wa tukio jingime katika simlizi hiyo.

wakakusanyika pamoja na kanisa

"Barnaba na Sauli wakakusanyika pamoja na kanisa."

Na wanafunzi wakaitwa wakristo kwa mara ya kwanza

Inamaanisha kuwa watu wengine walikuwa wakiwaita waumini kwa jina hili. "Watu wa Antiokia waliwaita wanafunzi wakristo"

Kwa mara ya kwanza

"Kwa mara ya kwanza huko Antiokia"