forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
567 B
Markdown
21 lines
567 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Petro anamalizia hotuba yake aliyokuwa ameianza katika sura 11:4 kwa Wayahudi juu ya maono yaliyotokea katika nyumba ya Korinerio.
|
|
|
|
# Pia kama Mungu ametoa zawadi... mimi ni nani, kwamba naweza kumpinga Mungu?
|
|
|
|
Petro anatumia swali hilikueleza kuwa yeye alikuwa anafanya vile kwa kumtii Mungu.
|
|
|
|
# Zawadi sawa
|
|
|
|
Petro anaelezea zawadi ya Roho Mtakatifu.
|
|
|
|
# Waliposikia mambo haya, hawakurudisha,
|
|
|
|
"Walinyamaza, hawakuweza tena kumshambulia Petro.
|
|
|
|
# Mungu ametoa toba kwa ajili ya uzima.
|
|
|
|
"Ametoa toba kwa wote kuwaongoza katika uzima wa milele"
|
|
|