sw_tn/act/10/42.md

592 B

Sentensi unganishi

Petro anamalizia hotuba yake katika nyumba ya Kornerio aliyokuwa ameianza.

kuwa huyu ndiye ambaye Mungu alimchagua

Mungu alikuwa amemchagua Yesu Kristo.

walio hai na waliokufa

Anamaanisha, " Watu walio hai na watu waliokwisha kufa

Katika yeye manabii wote washuhudie

"Manabii wote walishuhudia habari za Yesu".

kila anayeamini katika yeye atapokea msamaha wa dhambi

Mungu atasamehe dhambi za kila mmoja anayemwamini Yesu kwasababu ya kile Yesu ametenda.

kupitia jina lake

Neno "jina" Linaelezea matendo ya Yesu. Jina lake linamaanisha Mungu huokoa.