forked from WA-Catalog/sw_tn
592 B
592 B
Sentensi unganishi
Petro anamalizia hotuba yake katika nyumba ya Kornerio aliyokuwa ameianza.
kuwa huyu ndiye ambaye Mungu alimchagua
Mungu alikuwa amemchagua Yesu Kristo.
walio hai na waliokufa
Anamaanisha, " Watu walio hai na watu waliokwisha kufa
Katika yeye manabii wote washuhudie
"Manabii wote walishuhudia habari za Yesu".
kila anayeamini katika yeye atapokea msamaha wa dhambi
Mungu atasamehe dhambi za kila mmoja anayemwamini Yesu kwasababu ya kile Yesu ametenda.
kupitia jina lake
Neno "jina" Linaelezea matendo ya Yesu. Jina lake linamaanisha Mungu huokoa.