sw_tn/act/08/18.md

260 B

Roho Mtakatifu ametolewa kupitia kuwekewa mikono ya mitume.

"Mitume waliwapa Roho Mtakatifu kwa kuweka mikono yao juu ya watu"

Kila nitakae mwekea mikono apokee Roho Mtakatifu.

"Kwamba wakati ninaweka mikono yangu juu ya watu, wapokee Roho Mtakatifu"