sw_tn/act/07/47.md

968 B

Maelezo ya jumla

Mistari ya 49-50, Stefano ananukuu maneno kutoka kwa Nabii Isaya. Katika nukuu, Mungu anaongea kuhusu yeye mwenyewe.

zilizojengwa kwa mikono

zilizotengenezwa na watu

Mbinguni ni kiti changu cha enzi ....na duniani ni sehemu ya kuwekea miguu yangu.

Nabii analinganisha ukuu wa Mungu na jinsi isivyowezekana kwa mtu sehemu kwa Bwana kupumzika katika nchi tangu dunia ilipokuwa utupu lakini ni sehemu ya Mungu kuwekea miguu tu.

Ni nyumba ya aina gani mnaweza kunijengea?

Mungu anauliza swali ili kuonesha namna gani mwanadamu ana mapungufu kufikia uumbaji wake. Huwezi kujenga nyumba ambayo itanitosha mimi!

Wapi sehemu yangu ya kupumzikia

Mungu anauliza hili swali kumwonyesha mwanadamu kwamba hawezi kumpatia Mungu mapumziko. "Hakuna sehemu nzuri ya kumtosha Mungu kupumzikia!"

Siyo mikono imefanya haya yote?

Mungu anauliza hili swali kuonyesha kwamba mwanadamu hatengenezi chochote. "Mkono wangu umefanya hivi vitu vyote!