sw_tn/act/07/35.md

665 B

Maelezo ya jumla

Baada ya Waisraeli kutoka Misri, walikaa miaka 40 wakizunguka zunguka jangwani kabla Mungu hajawaongoza kuingia katika nchi aliyokuwa amewaahidi kuwapa.

Huyu ni Musa ambaye walimkataa

Hii inarejesha nyuma matukio yaliyotunzwa

Nani aliyekufanya mtawala na mwamuzi ?

Hili swali lilitumika kumkemea Musa."Huna mamlaka juu yetu"!

Mtawala na mkombozi

"Kutawala juu yao na kuwaweka huru kutoka kuwa watumwa"

Kwa mkono wa malaika

"Kwa nguvu ya malaika"

Kipindi cha miaka arobaini

"kipindi cha miaka arobaini ambacho watu wa Israeli waliishi jangwani"

Kutoka miongoni mwa ndugu zenu

"kutoka miongoni mwa watu wenu kuwa Nabii"