sw_tn/act/07/29.md

476 B

Maelezo ya jumla

Jamii iliyokuwa inamsikiliza Stefani ilikuwa inajua kuwa Musa alikuwa amemwoa mwanamke wa kimidiani alipokimbia kutoka Misri.

Baada ya kusikia haya

Musa alipotambua kuwa Waisraeli wanajua kuwa alikuwa amemwua Mmisri siku moja kabla.

Baada ya miaka arobaini kupita

Wakati miaka arobaini imepita baada ya Musa kutoka Misri.

malaika akamtokea

Stefano alikuwa akiongea na kungi ambalo lilijua pia kuwa Mungu aliongea na Musa kwa njia ya Malaika.