sw_tn/act/05/29.md

525 B

Petro na mitume wakajibu

Petro alizungumza kwa niaba ya mitume wote kwa maneno yafuatayo.

kwa kumtundika juu ya mti

Petro anatumia neno "mti" kuonyesha kuwa msalaba ulitengenezwa kutokana na mti. "Kwa kumtundika juu ya msalaba"

kutoa toba kwa Israeli, na msamaha wa dhambi

Neno "toba" na "msamaha" yanamaanisha kuleta msamaha kwa watu wa Israeli kwa njia ya toba na kisha Mungu kuwasamehe dhambi zao.

Israeli

Linamaanisha Wayahudi wote.

kwa wale wanaomtii

"Wote wanaojikabidhi chini ya mamlaka ya Mungu"