sw_tn/act/05/19.md

589 B

Nendeni, mkasimame hekaluni

Mitume walikwenda kusimama hekaluni katika ile sehemu ya wazi, hawakuingia ndani ambamo hawaruhusiwi kuingia ispokuwa kwa makuhani tu.

maneno yote ya Uzima huu.

Hii inamaanisha ujumbe wa Injili ambao mitume walikuwa wakiutangaza.

wakati wa kupambazuka

Ilipoanza kuwa nuru, "Ingawa malaika alikuwa amewatoa mitume jela wakati wa usiku, hivyo kulipoanza kupambazuka mitume walikuwa tayari wamefika hekaluni.

kuwatuma gerezani ili kuwaleta mitume.

Inamaanisha kuhani alituma mmoja wao kwenda gerezani kuwachukua mitume na kuwaleta mbele ya baraza.