sw_tn/act/03/19.md

660 B

Tubuni ... na kugeuka

"Kutubu na kugeuka kunamaanisha kubadirisha njia ya mtazamo na fikra zao kutoka katika dhambi na wamgeukie Mungu"

ili kwamba dhambi zenu ziweze kuondolewa kabisa

"kufuta" au "iliyoondolewa" ili Mungu aweze kuzifuta dhambi zao.

kusudi zije nyakati za kuburudika kutokana na uwepo wa Bwana

"Muda wa kuburudishwa katika uwepo wa Bwana inaweza kuwa; 1) Muda ambao Mungu anaziimarisha roho za watu wake; 2) Muda ambao Mungu analeta uamsho kwenu.

kwamba aweze kumtuma Kristo

"Kwamba anaweza tena kumtuma Kristo". Huu ni ujio mwingine wa Yesu Kristo.

ambaye ameshateuliwa kwa ajili yenu

Mungu alishamteua Yesu kwa ajili yao.