forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
660 B
Markdown
21 lines
660 B
Markdown
|
# Tubuni ... na kugeuka
|
||
|
|
||
|
"Kutubu na kugeuka kunamaanisha kubadirisha njia ya mtazamo na fikra zao kutoka katika dhambi na wamgeukie Mungu"
|
||
|
|
||
|
# ili kwamba dhambi zenu ziweze kuondolewa kabisa
|
||
|
|
||
|
"kufuta" au "iliyoondolewa" ili Mungu aweze kuzifuta dhambi zao.
|
||
|
|
||
|
# kusudi zije nyakati za kuburudika kutokana na uwepo wa Bwana
|
||
|
|
||
|
"Muda wa kuburudishwa katika uwepo wa Bwana inaweza kuwa; 1) Muda ambao Mungu anaziimarisha roho za watu wake; 2) Muda ambao Mungu analeta uamsho kwenu.
|
||
|
|
||
|
# kwamba aweze kumtuma Kristo
|
||
|
|
||
|
"Kwamba anaweza tena kumtuma Kristo". Huu ni ujio mwingine wa Yesu Kristo.
|
||
|
|
||
|
# ambaye ameshateuliwa kwa ajili yenu
|
||
|
|
||
|
Mungu alishamteua Yesu kwa ajili yao.
|
||
|
|