sw_tn/act/02/32.md

466 B

Maelezo ya Jumla

Neni "sisi" linaelezea wanafunzi na wale wotewaliokuwa mashahidi wa kufufuka kwa Yesu baada ya kifo chake.

Mungu alimfufua

Neno "alimfufua" Linaelezea kuwa Mungu alimfufua Yesu kutoka kwa wafu.

akiwa ameinuliwa katika mkono wa kuume wa Mungu

Mungu alimwinia Yesu juu katika mkono wake wa kuume.

yeye amemimina hii ahadi,

Neno "mimina" lina maana Yesu ambaye ni Mungu amefanya tukio hili litokee la kumtoa Roho Mtakatifu kwa waumini.