forked from WA-Catalog/sw_tn
1.1 KiB
1.1 KiB
Sentensi unganisha
Petro anaendelea na hoja yake kwa Wayahudi aliyoianza
sikieni maneno haya
"Sikilizeni kwa yale ninayotaka kuwaambia"
aliyethibitishwa na Mungu kwenu kwa matendo ya uweza na maajabu, na ishara
Inamaanisha Mungu anathibitisha kuwa alimchagua Yesu kwa huduma yake ya kudhihirisha matendo makuu ya miujiza.
mwanadamu aliyethibitishwa na Mungu kwenu
"Mtu ambaye Mungu alimdhibitisha kwenu"
Kwa sababu ya mpango uliokusudiwa tangu mwanzo, na maarifa ya Mungu
Inamaanisha kuwa, Mungu alipanga na kujua tangu zamani kwamba yangetokea nyakati za Yesu
ambaye Mungu alimwinua
Maana yaweza kuwa: 1) "Mlimtia Yesu katika mikono ya maadui" au 2) Yuda alimsaliti Yesu kwenu"
kwa mikono ya watu wahalifu, mlimsulibisha na kumuua
Ingawa watu wahalifu kweli walimsulibisha Yesu, hapa Petro anawashitaki kundi lote kwa kumwua kwasababu walikuwa wamekusudia Yesu auawe.
akauondoa uchungu wa mauti kwake, kwasababu haikuwezekana kwake kumilikiwa na huo.
etro anazungumzia kifo kama mfano wa binadamu anayeshikilia wafungwa hara kusababisha mateso makali.