sw_tn/act/01/12.md

623 B

Ndipo wao wakarudi

"Mitume wakarudi"

mwendo wa siku ya sabato

Hii inaelezea umbali ambao kutokana na desturi za walimu wa sheria wa kiyahudi, mtu aliruhusiwa kutembea mwendo wa sabato ambao yapata kilomita moja hivi.

Walipowasiri

"Walipofika mwisho wa safari yao. Mstari wa 12 unasema, "Ndipo wakarudi Yerusalemu kutoka kwenye mlima wa mizeituni"

chumba cha juu

"chumba ambacho kipo juu kwenye nyumba"

Walikuwa wameungana kama mtu mmoja

Kikundi kiliungana na hakikuwa na mgawanyiko au migongano.

wakiwa na juhudi wakiendelea katika kuomba

Wanafunzi waliomba kwa pamoja kwa kawaida na mara kwa mara.