sw_tn/act/01/09.md

559 B

wakiwa wanatazama juu

"mitume wakiwa wanaangalia juu mawinguni" wakati Yesu akiinuliwa na mawingu kwenda juu.

Yeye aliinuliwa juu

Mungu alimwinua juu ya anga

wingu likamficha toka katika macho yao

" na wingu liliwazuia kumwona hivyo wasingelimwona tena"

kuangalia kwa makini mbinguni

"Kutazama mawinguni" au "kukaza macho kwenye mawingu"

Ninyi wanaume wa Galilaya

Malaika anazungumza na mitume kama watu waliotoka Galilaya.

atarudi kwa namna ile ile

Yesu atarudi katika mawingu , kama ilivyokuwa wakati wa kupaa kwake kwenda mbinguni.