forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
987 B
Markdown
29 lines
987 B
Markdown
# kuwa kama wacha Mungu
|
|
|
|
"Onekana kama wapenda dini au onekana kama wenye haki" au "Onekana kama watu wema"
|
|
|
|
# Wataikana nguvu yake.
|
|
|
|
" Inamaana ya kuwa 1) "Wataikataa na wala hawataikubali nguvu ambayo Mungu alitaka kuwapatia" au 2) " Maisha yao hayataonesha udhibitisho wa ki Mungu kama wanavyodai".
|
|
|
|
# Kutoka kwenye welekeo sahihi
|
|
|
|
" Kuepuka"
|
|
|
|
# Watakao ingia kwenye familia
|
|
|
|
"Wakiingi katika nyumba na kushawishi sana"
|
|
|
|
# Wanawake wapumbavu
|
|
|
|
"Wanawake ambao ni wachanga kiroho". Hii inaweza kuwa kwa sababu wanashidwa kutulia au kwa sababu hawana kazi au kwa sababu wamejawa na dhambi".
|
|
|
|
# Waliojawa na dhaambi.
|
|
|
|
Maana zake ni 1) " Waliojawa na mizgo ya dhambi" au 2) " wanaotenda dhambi kila mara". Dhana kuu au wazo ni kwamba, hawawezi kuepukana na kutenda dhambi.
|
|
|
|
# Wanaoongozwa na tamaa za kila aina.
|
|
|
|
Wanawake hawa hutamani vitu vingi kana kwamba wanaacha kumwabudu Kristo" au " Wanawake hawa wanaacha kumwabudu Kristo na badala yake wanaviendea vitu vingine wavitamanivyo."
|
|
|