sw_tn/2ti/02/22.md

861 B

Kimbieni tamaa za ujana

Mafumbo haya yanamaanisha mbio haraka uwezavyo. Kukimbia ni kukimbia kitu kitakachoweza kuwadhuru ninyi, kufuata ni kukimbia kuelekea kitu ambacho kitakufanyia mema.

ukafuate haki

"kuitafuta haki"

Na

Maana inawezekana ni 1) Paulo alimtaka Timotheo kujiunga na wakristo wengine katika kutafuta haki' au 2) Paulo alimtaka Timotheo awe na amani na sio kugombana na waamini wengine.

nao wamwitao Bwana

"Wakristo" au "wote ambao wanaojiita watu wa Mungu"

kwa moyo safi

"Kwa nia ya dhati" au "kwa sababu nzuri"

ukatae upumbavu na maswali ya kipuuzi

"Kukataa kujibu maswali ya upumbavu" na "maswali ya kipuuzi"

Moyo safi

Paulo anazungumza juu ya sababu nzuri za kufanya jambo toka moyoni.

Huzaa ugonvi

Paulo anazungumza juu ya maswali ya kipuuzi akiyafananisha na mwanamke anayezaa mtoto. "inasababisha ugonvi"