forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
861 B
Markdown
33 lines
861 B
Markdown
|
# Kimbieni tamaa za ujana
|
||
|
|
||
|
Mafumbo haya yanamaanisha mbio haraka uwezavyo. Kukimbia ni kukimbia kitu kitakachoweza kuwadhuru ninyi, kufuata ni kukimbia kuelekea kitu ambacho kitakufanyia mema.
|
||
|
|
||
|
# ukafuate haki
|
||
|
|
||
|
"kuitafuta haki"
|
||
|
|
||
|
# Na
|
||
|
|
||
|
Maana inawezekana ni 1) Paulo alimtaka Timotheo kujiunga na wakristo wengine katika kutafuta haki' au 2) Paulo alimtaka Timotheo awe na amani na sio kugombana na waamini wengine.
|
||
|
|
||
|
# nao wamwitao Bwana
|
||
|
|
||
|
"Wakristo" au "wote ambao wanaojiita watu wa Mungu"
|
||
|
|
||
|
# kwa moyo safi
|
||
|
|
||
|
"Kwa nia ya dhati" au "kwa sababu nzuri"
|
||
|
|
||
|
# ukatae upumbavu na maswali ya kipuuzi
|
||
|
|
||
|
"Kukataa kujibu maswali ya upumbavu" na "maswali ya kipuuzi"
|
||
|
|
||
|
# Moyo safi
|
||
|
|
||
|
Paulo anazungumza juu ya sababu nzuri za kufanya jambo toka moyoni.
|
||
|
|
||
|
# Huzaa ugonvi
|
||
|
|
||
|
Paulo anazungumza juu ya maswali ya kipuuzi akiyafananisha na mwanamke anayezaa mtoto. "inasababisha ugonvi"
|
||
|
|