sw_tn/2th/03/01.md

826 B

Maelezo ya Jumla:

Paulo anawaomba waumini waombe kwa ajili yake na wenzake

Na sasa

Paulo anatumia neno "sasa" kubadilisha mada.

ndugu

hapa neno "ndugu" linamaanisha wakristo wenzetu, linajumisha wanaume na wanawake. AT: "ndugu wa kiume na wakike"

neno la Bwana liweze kuenea na kutukuzwa

Paulo anaongea kutawanya kana kwamba Neno la Mungu linakimbia toka sehemu moja kwenda sehemu nyingine. AT: "kwamba watu wengi zaidi na zaidi hivi karibuni watasikia ujumbe wetu kuhusu Bwana wetu Yesu na kuuheshimu"

kwamba tuweze kuokolea

Hili linaweza kusemwa katika muundo tendaji: AT: "kwamba Mungu atuokoe" au " kwamba Mungu aweze kutuokoa sisi"

Kwa sababu sio wote wanayo imani

"kwa kuwa watu wengi hawaamini katika Yesu"

ambaye atawaimarisha ninhyi

"ambaye atawaimarisha ninyi"

yule mwovu

"Shetani"