forked from WA-Catalog/sw_tn
539 B
539 B
Tazama
Neno hili limetumika hapa kama usemi kusisitiza, na kuthibitisha kinachosemwa baada ya hapa.
Nilituma neno
Hii inamaana alituma mjumbe.
Kwa mfalme kusema
Ujumbe kwa mfalme hapa umeandikwa kama Absalomu ndiye alikuwa mzungumzaji. Absalomu alikuwa akimwomba Yoabu kusema ujumbe kwa niaba yake.
Uso wa mfalme
Hii inamrejerea mfalme.
Aliinama chini mbele ya mfalme hadi kwenye ardhi
Absalomu anaonesha heshima kwa mfalme.
Mfalme akambusu Absalomu
Hii inamaanisha kwamba mfalme alisamehe na kumrudisha Absalomu.