forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
539 B
Markdown
25 lines
539 B
Markdown
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
Neno hili limetumika hapa kama usemi kusisitiza, na kuthibitisha kinachosemwa baada ya hapa.
|
||
|
|
||
|
# Nilituma neno
|
||
|
|
||
|
Hii inamaana alituma mjumbe.
|
||
|
|
||
|
# Kwa mfalme kusema
|
||
|
|
||
|
Ujumbe kwa mfalme hapa umeandikwa kama Absalomu ndiye alikuwa mzungumzaji. Absalomu alikuwa akimwomba Yoabu kusema ujumbe kwa niaba yake.
|
||
|
|
||
|
# Uso wa mfalme
|
||
|
|
||
|
Hii inamrejerea mfalme.
|
||
|
|
||
|
# Aliinama chini mbele ya mfalme hadi kwenye ardhi
|
||
|
|
||
|
Absalomu anaonesha heshima kwa mfalme.
|
||
|
|
||
|
# Mfalme akambusu Absalomu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba mfalme alisamehe na kumrudisha Absalomu.
|
||
|
|