anatafuta maisha yako
usemi unamaanisha "anataka kukuua."
Kama aishivyo Yahwe
Hii ni kati ya nadhiri zenye nguvu Daudi alizoziapa, kama ambavyo Yahwe ni shahidi. Yaani: "Naapa kwa uhai wa Yahwe"
aliyeniuokoa uhai wangu
"Uhai" hapa unarejea kwa Daudi mwenyewe. Yaani "aliyeniokoa"