forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
426 B
Markdown
17 lines
426 B
Markdown
# Wameiacha njia ya kweli, wamepotoka na wamefuata...
|
|
|
|
"walimu wa uongo .wameiacha...wamepotoka..wamefuata". Walimu wa uongo wamekataa kumtii Mungu kwa kukataa kilicho sahihi
|
|
|
|
# aliyependa kupata malipo yasiyo haki
|
|
|
|
alipokokea malipo ya anasa na yenye matendo ya dhambi
|
|
|
|
# Lakini alikemwa kwa ajili ya ukosaji wake
|
|
|
|
alionywa vikali kwa kutokutii kwake
|
|
|
|
# alizuia wazimuwa nabii
|
|
|
|
Mungu alitumia punda kuzuia upumbavu wa nabii
|
|
|