forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
673 B
Markdown
21 lines
673 B
Markdown
# katika mwaka wa thelathini na tisa wa Azaria mfalme wa Yuda
|
|
|
|
mwaka wa tisa wa Azaria mfalme wa Yuda** - Inaweza kuelezwa wazi kwamba huu ni mwaka wa thelathini na nane wa utawala wake. "katika mwaka wa 39 wa utawala wa Azaria mfalme wa Yuda"
|
|
|
|
# Shalumu ... Yuda
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
|
|
|
# Menahemu ... Gadi
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanaume wawili.
|
|
|
|
# alitawala mwezi mmoja pekee katika Samaria
|
|
|
|
Samaria ni mji ambao aliishi alipokuwa mfalme wa Israeli. "Shalumu aliishi katika Samaria na kutwala juu ya Israeli kwa mda wa mwezi mmoja tu"
|
|
|
|
# akawa mfalme katika mahali pake
|
|
|
|
Neno "katika mahali pake" ni sitiari inayomaanisha "badala yake." "kuwa mfalme badala ya Shalumu"
|
|
|