forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
633 B
Markdown
21 lines
633 B
Markdown
# Kumtupa chini
|
|
|
|
Yehu alimwambia towashi kumtupa Yezebeli nje ya dirisha.
|
|
|
|
# Hivyo wakamtupa Yezebeli chini
|
|
|
|
Matowashi wakamtupa Yezebeli nje ya dirisha la juu akafa wakati alipopiga chini.
|
|
|
|
# na Yehu akamseta chini ya miguu
|
|
|
|
Hii inamaanisha kwamba aliende farasi wake ambao walikuwa wakivuta gari lake kuseta mwili wake chini ya miguu yake"
|
|
|
|
# Mtazameni
|
|
|
|
Neno "mtazameni" maana yake kutoa umakini kwa yeyote aliyewekwa wazi. "Sasa nenda kwa"
|
|
|
|
# kwa kuwa ni binti wa mfalme
|
|
|
|
kwa kuwa Yezebeli alikuwa binti wa mfalme, ilikuwa lazima kumzika nabii wake. "kwa sababu alikuwa binti wa mfalme na kwa hiyo angezikwa inavyostahili" (UDB)
|
|
|