forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
642 B
Markdown
21 lines
642 B
Markdown
# wana wa manabii
|
|
|
|
Hii haimanaashi kwamba walikuwa wana wa manabii, lakini badala yake, hao walikuwa kundi la manabii.
|
|
|
|
# sufuria
|
|
|
|
Hii ni sahani ambayo kwa kawaida ilitengenezwa kwa nyama na mboga za majani zilizopikwa kwenye chungu pamoja na kimiminiko.
|
|
|
|
# matango pori
|
|
|
|
Hizi mboga za majani zilikuwa zinaota porini, kumaanisha kuna mtu alizipanda.
|
|
|
|
# alipojaza kwenye nguo yake
|
|
|
|
Aliinua chini ya mpaka wa vazi lake juu hadi kwenye kiuno kufanya nafasi kubeba walinzi zaidi kuliko angebeba kwa mikono yake pekee.
|
|
|
|
# lakini hakujua zilikuwa za aina gani
|
|
|
|
Hawakujua kwamba walikuwa walinzi wa aina gani hawakujua kama hazikuwa salama kula.
|
|
|