sw_tn/2ki/04/38.md

21 lines
642 B
Markdown
Raw Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# wana wa manabii
Hii haimanaashi kwamba walikuwa wana wa manabii, lakini badala yake, hao walikuwa kundi la manabii.
# sufuria
Hii ni sahani ambayo kwa kawaida ilitengenezwa kwa nyama na mboga za majani zilizopikwa kwenye chungu pamoja na kimiminiko.
# matango pori
Hizi mboga za majani zilikuwa zinaota porini, kumaanisha kuna mtu alizipanda.
# alipojaza kwenye nguo yake
Aliinua chini ya mpaka wa vazi lake juu hadi kwenye kiuno kufanya nafasi kubeba walinzi zaidi kuliko angebeba kwa mikono yake pekee.
# lakini hakujua zilikuwa za aina gani
Hawakujua kwamba walikuwa walinzi wa aina gani hawakujua kama hazikuwa salama kula.