forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
849 B
Markdown
29 lines
849 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Paulo anatetea utume wake kutoka kwa Mungu, paulo anaendelea kusema wazi mambo yale yaliyompata tangu awe mwamini.
|
|
|
|
# Nitaendelea
|
|
|
|
"nitaendelea kuzungumza, hata sasa juu yake"
|
|
|
|
# maono na mafunuo kutoka kwa Bwana
|
|
|
|
Maana zaweza kuwa hizi" Paulo anatumia maneno "maono" na "mafunuo" kumaanisha kitu kile kile kimeunganishwa kwa maneno tofauti ili kutoa msisitizo.
|
|
|
|
# Namjua mtu mmoja katika Kristo
|
|
|
|
Paulo kwa hakika anajisema yeye mwenyewe kama vile alikuwa mtu mwingine, lakini hii ikiwezekana ni lazima itafsiriwe kama ilivyoandikwa.
|
|
|
|
# ikiwa katika mwili, au nje ya mwili, mimi sijui
|
|
|
|
Paulo anazidi kujieleza yeye mwenyewe kama ikiwa hii itatokea kwa mtummwingine.
|
|
|
|
# Mungu anajua
|
|
|
|
"ni Mungu pekee ajuaye"
|
|
|
|
# mbingu ya tatu
|
|
|
|
Hii inalelezea mahali anapokaa Mungu na siyo mbingu au nafasi wazi angani (sayari, nyota, na dunia)
|
|
|