forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
427 B
Markdown
21 lines
427 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Paulo anaendelea kuwakumbusha wao kujitenga na dhambi na kutafuta utakatifu kwa makusudi.
|
|
|
|
# Wapendwa wangu
|
|
|
|
"ninyi niwapendao" au rafiki wapenzi"
|
|
|
|
# na tujitakase wenyewe
|
|
|
|
Katika sentensi hii Paulo anasema kujitenga mbali na dhambi ambayo yaweza kuathiri uhusiano wa kila mtu na Mungu.
|
|
|
|
# Na tuutafute utakatifu
|
|
|
|
"na tujitahidi kuwa watakatifu"
|
|
|
|
# katika hofu ya Mungu
|
|
|
|
"katika hofu ya ndani kwa Mungu"
|
|
|