sw_tn/1ti/05/11.md

927 B

Lakini kwa habari ya wajane vijana, kataa kuwaandikisha katika orodha

"Lakini msiwaweke wajane vijana kwenye orodha." Orodha ni ya wajane wenye umri wa miaka 60 na zaidi ambao jumuiya ya kikristo ingesaidia.

Kwa kuwa watakaposhindwa na tamaa ya mwili dhidi ya Kristo, watataka kuoa

"ni aliwasihi kutoka kwa Kristo kwa sababu ya tamaa zao za ngono" au "kuwa na tamaa ya mwili inayowafanya watake kutoa dhamira yao ya kiroho"

kutengua ahadi yao ya awali

"wala hawaweki ahadi zao za awali" au "kutokufanya walicho ahidi kukifanya kabla"

dhamira

dhamira ya wajane ilikuwa ni makubaliano yao ya kutumikia jumuiya ya kikristo kwa ajili ya mapumziko ya maisha yao kama jamii angewapa mahitaji yao.

kusengenya

Hawa ni watu ambao hujadili juu ya maisha binafsi ya watu wengine.

mambo wasio paswa kusema

"mambo ambayo si sahihi hata kutaja"

kuwa wamezoea kuwa wavivu

"kuingia katika tabia ya kutokufanya kitu