sw_tn/1th/05/19.md

393 B

Msimzimishe Roho

"Msimzuie Roho Mtakatifu kufanya kazi ndani yenu"

Msiudharau unabii

"Msiwe na dharau kwa unabii" au "Msichukie chochote ambacho Roho Mtakatifu atamueleza mtu"

Jaribuni kila Jambo

"Kakikisha kuwa kila unabii ni kweli na unatoka kwa Mungu"

shikilia lililo jema

Paulo anazungumza ujumbe za Roho Mtakatifu kama ni vitu ambavyo mtu anaweza shika mikononi mwake.