sw_tn/1th/04/01.md

421 B

Ndugu

hapa "ndugu" inamaanisha mkristo mwenzako

Tunawatia moyo na kuwasihi

Neno "sisi" linawaelezea Paulo, Silvanus na Timothy lakini sio waamini wa Thesalonike. Neno "kutia moyo" na "kusihi" inamaana moja. Paulo aliyatumia ili kusisitiza ni kwa jinsi gani wanawatia moyo waamini.

Mlipokea maelekezo toka

"mlifundishwa na"

Lazima mtembee

Hapa neno "kutembea" inaelezea namna ambavyo mtu anatakiwa kuishi.