sw_tn/1th/02/01.md

29 lines
671 B
Markdown

# sentensi unganishi
Paulo aeleza waamini huduma yao na thawabu.
# ninyi wenyewe
neno 'wewe' inahusu wa Wathesalonike wauminio.
# ndugu
Hapa hii ina maana Wakristo wenzake, ikiwa pamoja na wanaume na wanawake, kwa sababu waumini wote katika Kristo ni wanachama wa familia moja ya kiroho, na Mungu kama Baba yao wa mbinguni.
# ujio wetu
neno 'wetu' inahusu Paul, Silvanusi na Timotheo lakini si waumini wa Wathesalonike.
# haikuwa haina maana
ilikuwa na thamani sana
# mateso na walikuwa jeuri
Paulo alipigwa na kuweka katika jela la Filipi. 'walikuwa wakinyanyaswa na kutukanwa.
# miongoni mwa mgogoro uliyokithiri
"pindi mkutano ukiwa na upinzani mkubwa"