forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
671 B
Markdown
29 lines
671 B
Markdown
# sentensi unganishi
|
|
|
|
Paulo aeleza waamini huduma yao na thawabu.
|
|
|
|
# ninyi wenyewe
|
|
|
|
neno 'wewe' inahusu wa Wathesalonike wauminio.
|
|
|
|
# ndugu
|
|
|
|
Hapa hii ina maana Wakristo wenzake, ikiwa pamoja na wanaume na wanawake, kwa sababu waumini wote katika Kristo ni wanachama wa familia moja ya kiroho, na Mungu kama Baba yao wa mbinguni.
|
|
|
|
# ujio wetu
|
|
|
|
neno 'wetu' inahusu Paul, Silvanusi na Timotheo lakini si waumini wa Wathesalonike.
|
|
|
|
# haikuwa haina maana
|
|
|
|
ilikuwa na thamani sana
|
|
|
|
# mateso na walikuwa jeuri
|
|
|
|
Paulo alipigwa na kuweka katika jela la Filipi. 'walikuwa wakinyanyaswa na kutukanwa.
|
|
|
|
# miongoni mwa mgogoro uliyokithiri
|
|
|
|
"pindi mkutano ukiwa na upinzani mkubwa"
|
|
|