sw_tn/1th/02/01.md

671 B

sentensi unganishi

Paulo aeleza waamini huduma yao na thawabu.

ninyi wenyewe

neno 'wewe' inahusu wa Wathesalonike wauminio.

ndugu

Hapa hii ina maana Wakristo wenzake, ikiwa pamoja na wanaume na wanawake, kwa sababu waumini wote katika Kristo ni wanachama wa familia moja ya kiroho, na Mungu kama Baba yao wa mbinguni.

ujio wetu

neno 'wetu' inahusu Paul, Silvanusi na Timotheo lakini si waumini wa Wathesalonike.

haikuwa haina maana

ilikuwa na thamani sana

mateso na walikuwa jeuri

Paulo alipigwa na kuweka katika jela la Filipi. 'walikuwa wakinyanyaswa na kutukanwa.

miongoni mwa mgogoro uliyokithiri

"pindi mkutano ukiwa na upinzani mkubwa"