sw_tn/1th/01/04.md

586 B

sentensi unganishi

Paulo anaendelea kutoa shukurani kwa waamini walio Theselonike na ana washukuru kwa imani yao kwa Mungu

Ndugu.

"Waumini"

Tunajuaa.

Neno "sisi" linawaelezea Paulo, Silivanus na Timotheo lakini sio Waumini wa Thesalonike.

si kwa neno tu

si kwa kupitia kuhubiri tu

Ila kwa nguvu za Roho Mtakatifu.

Maana halisi zinaweza kuwa, 1. " Paulo na rafiki zake walihubiri kwa nguvu kwa kuwezesha na Roho Mtakatifu" au " 2. Injili inamatokeo makubwa kwa waaminio kupitia kazi ya Roho Mtakatifu".

Wanaume wa namna gani.

"Kwa namna ambavyo tulijitoa kwenu".