sw_tn/1th/01/04.md

25 lines
586 B
Markdown
Raw Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# sentensi unganishi
Paulo anaendelea kutoa shukurani kwa waamini walio Theselonike na ana washukuru kwa imani yao kwa Mungu
# Ndugu.
"Waumini"
# Tunajuaa.
Neno "sisi" linawaelezea Paulo, Silivanus na Timotheo lakini sio Waumini wa Thesalonike.
# si kwa neno tu
si kwa kupitia kuhubiri tu
# Ila kwa nguvu za Roho Mtakatifu.
Maana halisi zinaweza kuwa, 1. " Paulo na rafiki zake walihubiri kwa nguvu kwa kuwezesha na Roho Mtakatifu" au " 2. Injili inamatokeo makubwa kwa waaminio kupitia kazi ya Roho Mtakatifu".
# Wanaume wa namna gani.
"Kwa namna ambavyo tulijitoa kwenu".