forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
586 B
Markdown
25 lines
586 B
Markdown
|
# sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Paulo anaendelea kutoa shukurani kwa waamini walio Theselonike na ana washukuru kwa imani yao kwa Mungu
|
||
|
|
||
|
# Ndugu.
|
||
|
|
||
|
"Waumini"
|
||
|
|
||
|
# Tunajuaa.
|
||
|
|
||
|
Neno "sisi" linawaelezea Paulo, Silivanus na Timotheo lakini sio Waumini wa Thesalonike.
|
||
|
|
||
|
# si kwa neno tu
|
||
|
|
||
|
si kwa kupitia kuhubiri tu
|
||
|
|
||
|
# Ila kwa nguvu za Roho Mtakatifu.
|
||
|
|
||
|
Maana halisi zinaweza kuwa, 1. " Paulo na rafiki zake walihubiri kwa nguvu kwa kuwezesha na Roho Mtakatifu" au " 2. Injili inamatokeo makubwa kwa waaminio kupitia kazi ya Roho Mtakatifu".
|
||
|
|
||
|
# Wanaume wa namna gani.
|
||
|
|
||
|
"Kwa namna ambavyo tulijitoa kwenu".
|
||
|
|