forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
446 B
Markdown
25 lines
446 B
Markdown
# kijana mbeba silaha wake
|
|
|
|
Kijana mdogo aliyekuwa na jukumu la kubeba silaha za bwana wake kwa ajili ya vita.
|
|
|
|
# wasiotahiriwa
|
|
|
|
Hili ni neno lililotumika kuwaelezea watu ambao hawakuwa Wayahudi.
|
|
|
|
# atatenda kwa niaba yetu
|
|
|
|
"atatusaidia"
|
|
|
|
# hakuna kitu kiwezacho kumzuia Bwana asiokoe
|
|
|
|
"Bwana anaweza kuokoa"
|
|
|
|
# kwa wengi au kwa watu wachache
|
|
|
|
"Kwa idadi yoyote ya watu"
|
|
|
|
# kila kitu kilicho ndani ya moyo wako
|
|
|
|
"kila kitu unachotamani kufanya"
|
|
|