sw_tn/1pe/04/01.md

482 B

Kwa hiyo,

Neno hili linahitimisha mawazo ya Mtume Petro kwa kundi alilokuwa akiongea nalo.

Katika mwili

Katika mwili wake

Jivikeni wenyewe silaha za nia ileile

Neno "jivikeni wenyewe" linaelezea maaskari wanaotwaa silaha zao na kujiandaa kwa vita. Hapa inamaanisha kwamba waumini kuwa na dhamira katika mawazo yao ya kuteswa kama Yesu alivyoteswa. "Jiandae mwenyewe kutenda sawa na ilivyokuwa kwa Yesu"

wenyewe

Neno linafafanua kuhusu waumini katika sura ya kwanza.