sw_tn/1ki/18/36.md

25 lines
557 B
Markdown

# Ikawa
Neno hili hutumika kuonyesha tukio la muhimu katika historia. Waweza kutumia neno jingine linalofaa katika lugha yako
# Jioni
Tazama 18:27
# BWANA, Mungu wa Ibrahimu, wa Isaka, na wa Yakobo
Hapa "Israeli" inamaanisha Yakobo. Mungu alilibadilisha jina la Yakobo likiwa Israeli (Mwanzo 32:28). Pia Mungu aliwaita wana wa uzao wa Yakobo "Israeli."
# na ijulikane leo kuwa
"kuwafanya hawa watu wajue leo"
# Nisikie ... nisikie
Neno hili limerudiwa kwa ajiloi ya kutia msisitizo
# umerudisha mioyo yao kwako tena
"umewafanya wakuabudu tena"