forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
557 B
Markdown
25 lines
557 B
Markdown
# Ikawa
|
|
|
|
Neno hili hutumika kuonyesha tukio la muhimu katika historia. Waweza kutumia neno jingine linalofaa katika lugha yako
|
|
|
|
# Jioni
|
|
|
|
Tazama 18:27
|
|
|
|
# BWANA, Mungu wa Ibrahimu, wa Isaka, na wa Yakobo
|
|
|
|
Hapa "Israeli" inamaanisha Yakobo. Mungu alilibadilisha jina la Yakobo likiwa Israeli (Mwanzo 32:28). Pia Mungu aliwaita wana wa uzao wa Yakobo "Israeli."
|
|
|
|
# na ijulikane leo kuwa
|
|
|
|
"kuwafanya hawa watu wajue leo"
|
|
|
|
# Nisikie ... nisikie
|
|
|
|
Neno hili limerudiwa kwa ajiloi ya kutia msisitizo
|
|
|
|
# umerudisha mioyo yao kwako tena
|
|
|
|
"umewafanya wakuabudu tena"
|
|
|