forked from WA-Catalog/sw_tn
27 lines
859 B
Markdown
27 lines
859 B
Markdown
# 1 Yohana 05 Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
### Dhana maalum katika sura hii
|
|
|
|
#### Watoto waliozaliwa kutoka kwa Mungu
|
|
|
|
Watu wanapoamini Yesu, Mungu huwafanya watoto wake na kuwapa uzima wa milele. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/believe)
|
|
|
|
#### Kuishi Kikristo
|
|
|
|
Watu wanaomwamini Yesu wanapaswa kutii amri za Mungu na kupenda watoto wake.
|
|
|
|
### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
|
|
|
|
#### Kifo
|
|
|
|
Wakati Yohana anaandika juu ya kifo katika sura hii, anaelezea kifo cha kimwili. (See: rc://en/tw/dict/bible/other/death)
|
|
|
|
#### "Ulimwengu wote upo katika uwezo wa mwovu"
|
|
|
|
Maneno "yule mwovu" yanamaanisha Shetani. Mungu amemruhusu aongoze ulimwengu, lakini hatimaye Mungu ana mamlaka juu ya kila kitu. Mungu anawaweka watoto wake salama mbali na mwovu. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/satan)
|
|
|
|
## Links:
|
|
|
|
* __[1 John 05:01 Notes](./01.md)__
|
|
|
|
__[<<](../04/intro.md) | __ |