sw_tn/1jn/05/01.md

658 B

Maelezo ya Jumla

Yohana anaendelea kuwafundisha wasomaji wake kuhusu upendo wa Mungu na upedo ambao waaminio wanapaswa kuwa nao kwa sababu mekuwa na hali hii mpya kutoka kwa Mungu

amezaliwa na Mungu

"ni mwana wa Mungu"

Kwa hili twajua kwamba twawapenda watoto wa Mungu: tunapompenda Mungu na kutekeleza amri zake.

"Tunapompenda Mungu na kutenda atuamruyo, ndipo tunatambua kwamba tunawapenda watoto wake"

Hivi ndivyo tunavyompenda Mungu kwamba twazishika amri zake.

"Kwa sababu tunapofanya atuamruyo, hilo ndilo pendo la Mungu"

Na amri zake ni nyepesi.

"Na anayotuamru siyo gumu"

nzito

"lenye kuponda," "lenye kukandamiza" au "gumu"