forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
640 B
Markdown
25 lines
640 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Hapa maneno "tu...," "nasi" na "yetu" humaanisha Yohana na wale ambao wamekuwa pamoja na Yesu.
|
|
|
|
# Lile ambalo tumeliona na kulisikia twalitangaza pia kwenu
|
|
|
|
Tunawaambieni pia nanyi tuliloliona na kulisikia"
|
|
|
|
# muwe na ushirika pamoja nasi. Ushirika wetu ni pamoja na Baba
|
|
|
|
"muwe rafiki zetu wakaribu. Tu marafiki wa Mungu Baba"
|
|
|
|
# Ushirika wetu
|
|
|
|
Hako wazi kama Yohana anawaingiza ama anawaacha wasomaji wake.
|
|
|
|
# Baba...Mwana
|
|
|
|
Hivi ni vyeo muhimu vinavyoelezea uhusiano ulioko baina ya Mungu na Yesu.
|
|
|
|
# ili kwamba furaha yetu iwe kamili.
|
|
|
|
"kuifanya furaha yetu ikamilike" au kutufanya sisi tufurahi kikamilifu kabisa"
|
|
|