forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
428 B
Markdown
17 lines
428 B
Markdown
# kile ulichopanda sio mwili utakaokuwa
|
|
|
|
Fumbo la mbegu limetumika tena, kumaanisha kwamba mwili wa mkristo uliokufa utafufuliwa na hautaonekana kama ulivyokuwa.
|
|
|
|
# unachopanda
|
|
|
|
Paulo anaongea na Wakorintho kana kwamba ni mtu mmoja " unachopanda"
|
|
|
|
# Mungu ataipa mwili kama apendavyo
|
|
|
|
"Mungu ataamua ni mwili wa aina gani"
|
|
|
|
# mwili
|
|
|
|
Katika mazingira ya wanyama, "mwili" unaweza kutafasiliwa kama "mwili," "ngozi," au "nyama."
|
|
|