sw_tn/1co/15/37.md

428 B

kile ulichopanda sio mwili utakaokuwa

Fumbo la mbegu limetumika tena, kumaanisha kwamba mwili wa mkristo uliokufa utafufuliwa na hautaonekana kama ulivyokuwa.

unachopanda

Paulo anaongea na Wakorintho kana kwamba ni mtu mmoja " unachopanda"

Mungu ataipa mwili kama apendavyo

"Mungu ataamua ni mwili wa aina gani"

mwili

Katika mazingira ya wanyama, "mwili" unaweza kutafasiliwa kama "mwili," "ngozi," au "nyama."