sw_tn/1co/15/29.md

517 B

Au sivyo watafanya nini wale waliobatizwa kwa ajili wafu?

Kwa ufafanuzi Paulo anasema "vinginevyo ingekuwa haina maana kwa Wakristo kubatizwa kwa niaba ya wafu."

kwa nini tena wanabatizwa kwa ajili yao?

Paulo anataka jambo hili lifahamike kwa Wokorintho hata kabla hajalisema kwao ya kwamba " hakuna sababu yoyote kupokea au kubatizwa kwa niaba ya watu walikwisha fariki"

Na kwa nini tuko katika hatari kila saa?

Kwa maneno mengine ni kusema " hatupati faida yoyote kwa kujiweka katika hatari muda wote"