forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
517 B
Markdown
13 lines
517 B
Markdown
|
# Au sivyo watafanya nini wale waliobatizwa kwa ajili wafu?
|
||
|
|
||
|
Kwa ufafanuzi Paulo anasema "vinginevyo ingekuwa haina maana kwa Wakristo kubatizwa kwa niaba ya wafu."
|
||
|
|
||
|
# kwa nini tena wanabatizwa kwa ajili yao?
|
||
|
|
||
|
Paulo anataka jambo hili lifahamike kwa Wokorintho hata kabla hajalisema kwao ya kwamba " hakuna sababu yoyote kupokea au kubatizwa kwa niaba ya watu walikwisha fariki"
|
||
|
|
||
|
# Na kwa nini tuko katika hatari kila saa?
|
||
|
|
||
|
Kwa maneno mengine ni kusema " hatupati faida yoyote kwa kujiweka katika hatari muda wote"
|
||
|
|